Monday, April 30, 2012

A GIRL KILLED HERSELF THROUGH SOCIAL MEDIA

Binti aliyejiua kupitia mtandao wa kijamii(myspace)

Binti wa miaka 13 barani Uropa ameripotiwa kujinyonga kufutia kukataliwa na mpenzi wake kupitia mtandao wa kijamii(myspace). Binti huyo kwa jina la Megan Meir alikataliwa na mpenzi wake kwa jina Josh, miaka 16, ambaye hawakuwahi kukutana uso kwa uso isipokuwa kupitia online relationship. 

Wiki sita baada  ya kifo cha binti huyo wazazi wake walibaini kuwa Joash alikuwa mpenzi "feki" wa kutengeneza. Josh ni jina lilibuniwa na baba mtu mzima ambaye ni jirani wa kairbu na marehemu kupitia msaada wa binti yao aliyekuwa rafiki wa kairbu wa Megan. 

Wenye kutafuta wapenzi pitia social media mpo hapo!


By Oyaro jr

No comments:

Post a Comment